TruthlineAI
  • AI Narrative Watch
  • AI Forensics
  • AI Dialogue
  • AI Governance
Reading: Muhtasari Kamili wa Gazeti la Taifa Leo Alhamisi Julai 10,2025
Subcrible Now
TruthlineAITruthlineAI
Font ResizerAa
  • AI Narrative Watch
  • AI Forensics
  • AI Dialogue
  • AI Governance
  • AI Narrative Watch
  • AI Forensics
  • AI Dialogue
  • AI Governance
Have an existing account? Sign In
Follow US
  • Legal Stuff
  • Privacy Policy
  • Manage Cookies
  • Terms and Conditions
  • Partners
Copyright © 2025 Truthlineai
TruthlineAI > Blog > AI Narrative Watch > Muhtasari Kamili wa Gazeti la Taifa Leo Alhamisi Julai 10,2025

Muhtasari Kamili wa Gazeti la Taifa Leo Alhamisi Julai 10,2025

Last updated: July 10, 2025 8:13 am
AI Narrative Watch
2 Min Read

Muhtasari wa Gazeti la Taifa Leo Alhamisi Julai 10,2025

Ukurasa wa 1: Rais William Ruto ameonja viongozi wa upinzani kwamba hatakubali njama za kumwondoa madarakani kwa njia zisizo za kikatiba. Amesema amekuwa kimya lakini sasa amejiandaa kukabiliana nao kwa nguvu ili kuzuia ghasia.

Ukurasa wa 2: Kaunti 12 zimetengewa Sh 4.46 bilioni kwa miradi ya maendeleo katika mwaka wa kifedha 2025/2026.

Katibu wa Ardhi Nixon Korir na Mbunge Paul Chebor wamezuiwa kuvamia shamba la familia ya Rais wa zamani Daniel Arap Moi huko Nakuru.

Ukurasa wa 3: Mahakama kuu imezuia serikali kufunga Jiji la Nairobi wakati wa maandamano.

Watu sita waliohukumiwa kwa mauaji ya Mbunge George Thuo wakiachiwa kwa dhamana ya Sh milioni 1 wakisubiri rufaa.

Ukurasa wa 4: Gavana wa Makueni, Mutula Kilonzo, amesema KEMSA haina uwezo wa kusambaza dawa kwa kaunti kwa wakati.

Kaunti ya Homa Bay ikiwa na mradi wa kupanua barabara kuu za Rongo-Homa Bay na Homa Bay-Kendu Bay.

Ukurasa wa 5: Wauguzi zaidi ya 600 Kaunti ya Kilifi wameanza mgomo kutokana na malalamishi yao.

NEMA yapeleleza ombi la kujenga jaa la taka za asbestos eneo la Kalumani/Mnyenzeni katika Kaunti ya Kilifi.

Ukurasa wa 6-7: Makala ya tahariri inaonya juu ya mzozo kati ya Rais Ruto na Rigathi Gachagua kuwa hatari kwa nchi, ikisema Kenya iko katika mkondo wa mzozo usiopo kikomo.

Ukurasa wa 8: Kizza Besigye amezindua chama kipya cha kisiasa, People’s Front for Freedom (PFF), huku akiwa kizuizini Uganda.

Mafuriko Texas yakisababisha vifo vya watu 109 na wengine kukimbilia miti.

Ukurasa wa 9: Mrembo mmoja amekosana na mpenzi wake baada ya kumtaka “atungue mimba yake,” huku ukurasa wa 18 ukimtangazia mkulima Dennis Kipkoech kuwa mshindi wa jackpot ya Sh milioni 10.

Ukurasa wa 20: Chelsea ina nafasi nzuri ya kushinda kombe la klabu Bingwa Duniani, huku Rais Donald Trump akitarajia kuhudhuria fainali hiyo baada ya FIFA kufungua ofisi katika Trump Tower.

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp LinkedIn Email Copy Link Print
July 2025
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Aug    
  • AI Narrative Watch
  • AI Forensics
  • AI Dialogue
  • AI Governance

All the latest from TruthLine AI — critical updates on narrative integrity.

TruthLine AI is a civic research center focused on defending democracy in Africa by addressing narrative distortion and AI manipulation. We act as a firewall against disinformation, providing Narrative & Media Watch, AI Forensics, AI Dialogue, AI Governance & Policy.

Read our privacy policy for more information.

Copyright © 2025 TruthlineAI

All the latest Foxiz news straight to your inbox

Welcome Back!

Sign in to your account

Username or Email Address
Password

Lost your password?